facebook likes

Monday, July 8, 2013

Wafanyakazi wa ujenzi wamdhalilisha Kim Kardashian hadharani


Kampuni moja ya ujenzi iliyopo Canada, imeamua kumtest Kim kwa kuweka bango linalochekesha na kumdhalilisha katika jengo la Bay Adelaide Center lililopo Toronto, Ontario, ambalo liko katika ujenzi
Katika lakini katika juhudi za kupunguza wasiwasi kwa umma, wajenzi wa jengo hilo waliweka bango linalosema kuwaambia wenyeji, 'Ujenzi kumalizika kwa kasi zaidi kuliko ndoa Kim Kardashian.'

, "Construction set to finish faster than a Kim Kardashian marriage."
inasemekana bango hilo lilitengenezwa na kundi la wachekeshaji ambao ni ma-legendari "Second City" ikiwa ni sehemu ya utani utakaokuwa ukiendelea mpaka pale project hiyo ya ujenzi itakapokamilika.

kama story imekuacha njia panda ni hivi, Kim Kardashian alifunga ndoa na Kris Humphrey, ambayo ilidumu kwa siku 72 tu kabla ya kuvunjika.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...