facebook likes

Monday, July 8, 2013

Ligi ya Ufaransa yajiandaa ku-Make headlines kwa usajili wa mastaa kibao.

Edinson Cavanni ameripotiwa kujiunga na klabu ya PSG.
Edinson Cavanni ameripotiwa kujiunga na klabu ya PSG.
Katika miaka ya hivi karibuni nyota wengi wakubwa kwenye ulimwengu wa soka wamekuwa wakivutiwa na soka la Hispania na wengine soka la England, hali hii inatokana na ukweli kuwa ligi hizo ndio nyumbani kwa timu kubwa barani ulaya kifedha na kimafanikio na hata umaarufu pia , hali hiyo inakaribia kubadilika kufuatia kuibuka kwa klabu nyingine yenye msuli mkubwa wa kifedha nchini Ufaransa ya Monaco.
Kuibuka kwa Monaco kunafanya mbio za ubingwa wa Ufaransa kuanza mapema kwa mbio za ligi ya Ufarans

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...