facebook likes

Monday, July 8, 2013

Ilivyokua kwenye Big Brother Africa The Chase weekend ya July 7

bba8_20130707_day42_lastwords_hakeem_fatima_lg
Hakeem na Fatima
Big brother Africa The Chase kupitia DSTV channel 197 na 198 inazidi kumiliki headlines na washiriki wanazindi kupungua kwenye jumba hilo kuelekea fainali ambapo wiki iliyopita tulishuhudua mshiriki wa Tanzania Nando kuwa kwenye dangerzone ya kutoka ndani ya jumba hilo lakini bahati nzuri ni kwamba hakutolewa hiyo July 7.
Washiriki wawili Fatima kutoka Malawi na Hakeem kutoka Zimbabwe ndiyo wamesema byebye kwenye jumba la Big brother Africa weekend iliyopita kuangushwa kwenye kura.
944705_394022090718613_841348358_n
Kura zilivyoenda wiki hii
wakazi_live_lg1_74d1aab9-1a24-4e1d-bbad-f477f8add475_101307201017067
Wakazi akiwa kazini
Kitu kingine kilichomiliki headlines kwenye Big brtoher wiki hii ni show ya msanii kutoka Tanzania Wakazi a.k.a Swaga Bovu ambaye alipiga show kali na ngoma zake mbili Weekend na Touch.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...