facebook likes

Monday, February 18, 2013

ULIWAHI KUWAZA KAMA WEMA SEPETU SIKU MOJA ANGEKWAMBIA HII NDIO OFISI YAKE MPYA? CHEK PICHAZ

Mwigizaji Wema Sepetu december 2012 alisema miongoni mwa mambo aliyotamani kuyafanikisha 2012 na hayakufanikiwa ni kufungua ofisi yake mpya ambayo itahusika pia na ishu za movie kwa asilimia kubwa, 2013 ndio hii na mipango yake imekamilika.
Kwa sasa unaweza kutazama picha za hii ofisi yake mpya lakini taarifa nyingine ikufikie kwamba siku yoyote kwenye wiki hii inayoanza kesho, Wema ataitambulisha ofisi yake mpya ambapo jovinbachwa.blogspot.com itakuepo eneo la tukio, endelea kuwa karibu mtu wangu.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.
Endelea kufatilia blog hii ili uweze kupata muendelezo wa habari hii

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...