Mwigizaji Wema Sepetu december 2012 alisema
miongoni mwa mambo aliyotamani kuyafanikisha 2012 na hayakufanikiwa ni
kufungua ofisi yake mpya ambayo itahusika pia na ishu za movie kwa
asilimia kubwa, 2013 ndio hii na mipango yake imekamilika.
Endelea kufatilia blog hii ili uweze kupata muendelezo wa habari hii











No comments:
Post a Comment