facebook likes

Tuesday, August 13, 2013

WILLIAM MALECELA ANENA" VIONGOZI WOTE WANAO LILIA ISHU YA PONDA NI WANAFIKI.

Ni ujUmbe uliowekwa na W.J Malecela..Jisomee mwenyewe
.....SOMA ZAIDI.......
"Nimekuwa nikimfuatilia Sheikh Ponda kwa karibu sana toka wakati wa vurugu za MwembeChai, since then amegeuka kuwa a very mysterious creature almost becoming like John Gotti the once feared New York City's Mafian Don. Baada ya kusoma kwa makini comments nyingi sana between the media na Social Media za Tanzania, za kutoka kwa wananchi mpaka Viongozi wengi wa Siasa wa Taifa toka ashambuliwe majuzi, ninauona unafiki mkubwa sana na wa hali ya juu sana, kweli kama hili Taifa we are not Taifa la Wanafiki, basi we are almost there to become one!. I mean who is Ponda? What does he stand for? Who pays for his bills and WHY?
- I will never support violence, lakini here we have a Muslim Leader preaching violence, every where he talks the man preaches violence sijasikia Kiongozi yoyote wa Taifa akijitokeza kumlaani Ponda na message zake!, leo the very Violence he preaches comes to haunt him, eti tuna Viongozi wa Taifa wanaodai Uchunguzi na maneno mengi ya Siasa ambayo wala hayahusu kabisa. Wanatuambia nini sisi wananchi wengine wa kawaida kwamba ku-preach violence is ok but when that violence comes to haunt you then where is the government? Really? What government? Halafu eti kuna Viongozi wa Taifa hili wanaojaribu kujikomba komba na kuongea maneno ya kinafiki waonekane wapo sawa na hawa wanaomlilia? Please!!
- Amepigwa risasi 20 Biliionea Arusha majuzi mbona hajatokeza Kiongozi hata mmoja wa Siasa kumlilia na kutaka waliompiga wakamatwe haraka sana? Am ememwagiwa tindikali Mfanya biashara maarufu hapa mjini mbona hatujasikia hawa wanasiasa uchwara wakilia lia wakamatwe waliommwagia? Wananchi wangapi wanapigwa Risasi kila siku nchini mbona hatujasikia hawa Viongozi wakilalamika kwamba wahusika wakamatwe? Stop this madness please, Viongozi wote wanaolilia na ishu ya Ponda ni wanafiki wakubwa na ni hatari sana kwa hili Taifa. And yes I said it, ni wanafiki wakubwa they all need to go! I mean what is so special about Ponda kwamba Serikali iache kazi zake za kawaida ianze kuwatafuta waliompiga Risasi? Vipi wananchi wengi walioumizwa na kupoteza maisha yao kutokana na mafundisho ya sumu za Ponda? 
- I mean it is about time now wale Viongozi wote wanaolilia lia kuhusu waliomrushia risasi Ponda kujiuzulu kwa sababu wote ni infit kuongoza hili Taifa, na Viongozi wa juu wa Serikali acheni kujipendekeza na maneno maneno ya kujifanya kuwatuliza hawa wanao lia lia, na maneno ya tume! Tume my left foot, Ponda ni mwananchi kama wengine wote so tatizo lake lichukuliwe kama mengine na Serikali should get tough na wajinga wajinga kama Ponda, nothing but a ******** in the cover of religion!, I mean wananchi Millioni 44 tunakaa tunasumbuliwa na mwanachi mmoja kila siku? how could that be? Enough! and yes I said it he is nothing but a coackroach in the cover of religion!!"

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...