facebook likes

Monday, August 26, 2013

MAN CITY YAFUMULIWA 3-2 NA CARDIFF...DOGO WA OLD TRAFFORD AWAPIGA MABAO MAWILI HATARI YA KICHWA

Unlikely victory: Frazier Campbell scored twice in Cardiff's shock win over title contenders Manchester City
Dogo noma: Frazier Campbell amefunga mabao mawili Cardiff ikiibwaga Manchester City
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI..........
MABAO mawili ya kichwa dakika za lala salama ya Fraizer Campbell tyameipa Cardiff ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya England, baada ya kuilaza Manchester City 3-2.
Edin Dzeko alitangulia kuifungia timu ya Manuel Pellegrini dakika ya 52, lakini Cardiff ikasawazisha kupitia kwa Aron Gunnarsson dakika ya 60, kabla ya Campbell kufunga dakika za 79 na 87. 
Alvaro Negredo akafungua akaunti yake ya mabao City kwa bao la dakika ya mwisho kabisa.
Kikosi cha Cardiff City kilikuwa: Marshall; Connolly, Caulker, Turner, Taylor, Bellamy/Cowie dk83, Gunnarsson, Kim/Mutch dk90, Medel, Whittingham na Campbell/Cornelius dk90.
Manchester City: Hart, Zabaleta, Garcia, Lescott, Clichy, Navas/Nasri dk55, Fernandinho/Milner dk77, Toure, Silva, Aguero na Dzeko/Negredo dk69. 


Superb strike: Edin Dzeko's goal came on the back of Manuel Pellegrini demanding he score more goals
Shuti hadi bao: Edin Dzeko akifunga
Bruising battle: Fraizer Campbell is dispossessed by City goalkeeper Joe Hart
Kifaa: Fraizer Campbell akimruka kipa wa City, Joe Hart
Hapa ni namna Alvaro Negredo alivyoifungia Manchester City bao la pili - Gonga hapa kupata zaidi yaliyojiri Uwanja wa Cardiff City
Negredo goal
Midfield battle: Cardiff's Gary Medel vies for possession with City's Fernandinho
Mpambano kwenye kiungo: Kiuno wa Cardiff, Gary Medel akipambana na kiungo wa City, Fernandinho
Despair: City defender poorly for Aron Gunnarsson's equaliser
Kizaazaa: Mabeki wa City wakiwa wameduwaa baada ya Aron Gunnarsson kusawazisha
Frustration: Sergio Aguero can see victory slipping out of City's grasp
Amepagawa: Sergio Aguero haamini kipigo
Hero: Fraizer Campbell's goals could prove vital all season for the newly-promoted side
Shujaa: Fraizer Campbell ameing'arisha timu mpya katika Ligi Kuu
Pressure: Alvaro Negredo's late goal gave City a lifeline and ensured a nervy finish
Hatari: Alvaro Negredo alifunga dakika ya mwisho
Time to celebrate: Cardiff fans do the Poznan to mark Campbell's goal
Wakati wa kusherehekea: Mashabiki wa Cardiff wakishangilia bao la Campbell
Despair: Alvaro Negredo knows City are running out of time to equalise
Majanga: Alvaro Negredo akisikitika chini
Unconvincing: Joe Hart again struggled, suggesting his form is yet to recover
Kipa bomu: Joe Hart ameonyesha tena hayuko katika kiwango kizuri
United hero? Campbell came through the youth ranks at Old Trafford
Shujaa wa United? Campbell ametokea kwenye akademi ya Old Trafford

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...