facebook likes

Wednesday, July 10, 2013

TWEETS ZA AMBER & WIZ KHALIFA ZATHIBITISHA WAWILI HAO KUFUNGA NDOA


Usiku wa kuamkia leo tarehe 9/7/2013 majira ya saa 8 usiku
 kwa majira ya saa za afrika mashariki
niliona kupitia mtandao wa facebook,msanii
wa hip-hop Wiz khalifa akiandika kupitia page yake ya facebook iliyokuwa
verified  kuwa
 yeye na mama watoto wake mwanamitindo
Amber Rose wamefunga ndoa tarehe 8/7/2013....!!
Katika hali ya kuwaacha mashabiki zao katika sintoamini leo
 majira ya mchana walirudia tena  majira ya saa nane kwa muda
wa saa za afrika mashariki wawili
hao walipost kwa upande huu,alianza Amber Rose mama wa mtoto mmoja
 aliyezaa na Rapper huyo kuandika
kupitia mtandao wake wa Twitter na Instagram kuwa
 amefunga ndoa na Mpenzi wake huyo
baba wa mtoto wake....

Zicheki Tweets hizi za Mastaa hawa ambao ndoa yao imekuwa ya
 ghafla ghafla tofauti na ilivyotegemewa
kama mastaa wengine ujipanga na kualika watu maarufu kusherekea
siku nzuri na muhimu ya maisha ya
mwanadamu....!!

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...