facebook likes

Thursday, July 18, 2013

STAMINA KUACHIA NGOMA MPYA SOON.


Msanii wa Hip hop Stamina anatarajia ku- release new single mwezi huu tarehe 24. The song is titled “Mwambie mwenzio” akishirikishana na mkali Hip hop “Darasa” pamoja na mwanadada Wada ambae ni mgeni katika ulimwengu wa muziki.
Stamina amepanga kuachia ngoma hiyo tarehe 24 siku ya kumbukumbu kwa Mama yake mzazi ambaye alifariki tarehe kama hiyo.

    No comments:

    COMMENTS

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...