facebook likes

Thursday, July 18, 2013

JUSTIN TIMBERLAKE ANAONGOZA KWA KUPATA NOMINATIONS NYINGI KWENYE MTV VIDEO MUSIC AWARD

Pop star mwenye miaka 32 “Justin Timberlake” mapema mwaka huu aliachia album mpya inayokwenda kwa jina la 20/20 experience.
Mirror ni moja ya nyimbo ambayo imetamba sana na kufanya vizuri katika chart mbalimbali za music. Wimbo wa mirror umeweza kupata 4 nominations za MTV video music award (VMA).
Mirror imekuwa nominated kwenye Video of the Year, Best Male Video, Best Pop Video and Best Editing while his “Suit & Tie” team-up with Jay-Z is in the running for Best Collaboration and Best Direction
Mpaka sasa Justin Timberlake ameshinda jumla ya tuzo saba za MTV video music award.

    No comments:

    COMMENTS

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...