facebook likes

Tuesday, October 15, 2013

TANZANIA YAANZA VIBAYA MASHINDANO YA TUSKER PROJECT FAME

Tanzania leo imeanza vibaya kwenye shindano la Tusker Project Fame msimu wa sita, baada ya washiriki wawili wanaoiwakilisha kutoka.
SOMA ZAIDI............

Washiriki hao ni Durbat na Tanah ambao wameungana na mshiriki wa Rwanda, Peace kuyaaga mashindano hayo. Kutokana na kuondolewa kwa washiriki hao, Tanzania imebakiza washiriki wawili tu kwenye shindano hilo.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...