facebook likes

Thursday, August 29, 2013

ETO'O AWASILI LONDON KUFANYIWA VIPIMO NA KUJIUNGA NA CHELSEA

eto c6562
Eto'o akiwasili London 
SOMA ZAIDI...........
eto2 85114
Chelsea inakaribia kumsajili mshambuliaji Samuel Eto'o kwa dili la mwaka mmoja lenye thamani ya £7million kwa mkataba wa mwaka mmoja leo Alhamisi baada ya kukiri kushindwa kumpata mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney.

Eto'o, 32, amekubali kupunguza dau lake alilokuwa akilipwa na Anzhi kiasi cha £17m kwa mwaka na sasa atasaini atasaini akiwa huru.
Pamoja na hilo, lakini inaeleweka kwamba Anzhi wamemlipa Eto'o millioni kadhaa ili kuweza kumuondoa katika listi wachezaji wanaolipwa fedha nyingi ndaniya klabu ya Anzhi.

Eto'o aliwasili jijini London jana usiku na anategemewa kufanyiwa vipimo vya afya mchana wa leo katika uwanja wa mazoezi wa Chelsea Cobham.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...