facebook likes

Thursday, September 19, 2013

HATIMAYE RAY C ANUNUA GARI JIPYA...LITIZAME HAPA

STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray C’ameuanika ‘mkoko’(gari) wake ambao anatembelea kwa sasa aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… Jaguar don't care...CHL means Chalamila Family..... 
ANGALIA PICHA ZAIDI...

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...