facebook likes

Saturday, October 12, 2013

ZITTO --Wabunge wa CCM wanataka kujiongezea muda wa Ubunge hadi 2017


Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe amesema kuwa kuna mkakati unaofanywa na wabunge wa CCM kujiongezea muda wa kuendelea kukaa madarakani kwa kujitahidi kuzuia na kuhujumu Mchakato wa Katiba

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...