facebook likes

Monday, September 2, 2013

Star Mwingine Mkubwa Ajitangaza Kuwa Ni Shoga, Ni Mpiganaji Mieleka Maarufu [WWE]

Hii ni habari nyingine ya kuwaacha watu midomo wazi, na hii ni kufuatia hatua ya Nyota Mieleka kutoka WWE, Darren Young kuweka wazi kuwa yeye ni shoga.
SOMA ZAIDI............
Kutokana na tabia na mfumo wa Wanamieleka kuunda matukio ya kutengeneza ili kujipatia 'kiki', hapo awali hatua hii ya kujitangaza kwa Darren ilidhaniwa kuwa ni utani, lakini kimsingi imeonekana kuwa hakuna points zozote ambazo angeweza kujipatia kwa kujitangaza kuwa ni shoga.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...