facebook likes

Friday, August 16, 2013

HALI HII NI HATARI...

Abiria wanashuka, wengine wanaingia...
Kadhia ya usafiri wa Noah: Abiria wakiwa wamepangwa hadi nyuma ya siti wakiwa kwenye usafiri huo kutoka  Mikumi kwenda Mjini Morogoro,
...SOMA ZAIDI........
kama walivyokutwa leo na kamera yetu eneo la Kijiji cha Mangae, Wilaya ya Mvomero ,barbara kuu ya Iringa - Morogoro. Licha ya gari hizo kuruhusiwa kubeba abiria baadhi ya wenye magari hayo hawazingatii kanuni za usafirishaji kwa kujaza abiria wengi kinyume na sheria.

 
Mlango unafungwa
 
Haya, safari njema...

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...