facebook likes

Thursday, July 11, 2013

BRELA KUIMARISHA HUDUMA ZAKE


 Kaimu Meneja Huduma, Utawala na Fedha wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA) Bosco Gadi (kushoto) akieleza Vyombo vya Habari juu ya uimarikaji wa huduma za BRELA,katika mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari,kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari Bi. Zamaradi Kawawa.
Naibu Msajili, Mkuu wa Idara ya Sheria na Biashara wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA)Andrew Mkapa(kushoto) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari kulia ni Kaimu Meneja Huduma, Utawala na Fedha (BRELA) Bosco Gadi.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...