.
Adhabu imetolewa na TFF baada ya kukutana na kupitia ripoti za michuano ya Ligi kuu na Ligi Daraja la Kwanza.
Kocha Msaidizi wa Mgambo Shooting Denis Mwingira ametozwa faini ya Sh 500,000 kwa kumtolea lugha chafu mwamuzi wa mechi na Mtibwa Sugar october 2012.
Ally Jangalu akiwa ni kocha msaidizi wa Polisi ya Moro nae amepigwa faini ya laki tano baada ya kutolewa kwenye benchi kwa kupinga kwa sauti kubwa maamuzi ya refa November 2012.
No comments:
Post a Comment