facebook likes

Wednesday, February 27, 2013

HII NDIO PETE LINEX AMEMVISHA MCHUMBA WAKE


Weekend hii, mtu mzima Sunday Mjeda aka Linex aka Mr VOA (Voice Of Africa), alifanya yake kwa kumvisha pete mpenzi wake, ambae ni  mwenyeji wa Finland anaeitwa Suvi. Linex aliamua kufanya kimya kimya tena wakiwa wawili tu, kwasababu hakutaka kujionyesha, na anaamini ile ni kitu very personal haikuhitaji manjonjo mengi...all in all blog hii inakutakia kila la kheri






No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...