facebook likes

Wednesday, February 27, 2013

Fatilia Kesi ya Msanii Kajala Inavyoendelea Mpaka Leo







Hukumu iliyokuwa ikisubiliwa na baadhi ya wadau wa tasnia ya sanaa hususani upande wa filamu ya msanii wa bongo movi Kajala Masanja imehairishwa mpaka tarehe 25 mwezi wa tatu

Chanzo cha habari ambacho ni mmoja wa rafiki wake wa karibu na msanii huyo alieleza kuwa kutokana na kutokuwepo kwa baadhi ya

wahusika katika kesi hiyo imemladhimu hakimu kuihairisha kesi hiyo mpaka tarehe iliyopangwa hapo juu

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...