facebook likes

Friday, February 15, 2013

CHRIS MARTIN AWAGUSA WASWAHILI, KUMBE JAMAA ANAJUA KISWAHILI .

Chris Martin amedhihirisha kukolewa kwake na Afrika Mashariki na hii pengine ni kutokana na show zake kubwa ambazo amezipiga katika nchi za Uganda na Kenya kwa wakati tofauti na hii ni kutokana na mshkaji huyu kudhihirisha kuwa lugha 'hadhimu' ya Kiswahili haimpigi chenga.

Christopher Martin
Investigation ya www.jovinbachwa.blogspot.com imelithibitisha hili pia na kugundua kuwa ni kweli msanii huyu wa miondoko ya reggae ana-feel Kiswahili, na hiki ndicho tulicho kutana nacho kwenye twitter timeline yake...
                       
Kama bado huamini, #FACT iis.. Yeah, for real, Jamaa Kiswahili kinapanda kimtindo.
 
 Ni mkali mwenye hits kibao kutoka Jamaica, Chris Martin, Hits zake kama vile Cheaters Prayer na Paper Loving ndio zime-establish jina lake vizuri kabisa Afrika Mashariki.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...