facebook likes

Monday, July 1, 2013

BRAZIL NI NOMA WAMFANYA VIBAYA SPAIN NA KUTWAA KOMBE LA MABARA


Timu ya Taifa ya Brazil usiku wa saa 8 kuelekea sas 9 kwa saa za Afrika Mashariki waliweza kuwafunga Mabingwa wa Dunia na Mabigwa wa Ulaya timu ya Taifa ya Spain jumla ya Magoli 3-0 katika mchezo wa fainali ya kombe la Mabara na hivyo kuitimisha rekodi ya Spain ya kutofungwa mara 29 katika michezo ya ushindani.

 

Waliopeleka kilio cha Magoli kunako timu ya Spain walikuwa ni Fred aliefunga Magoli mawili huku lingine likitiwa nyavuni na Mchezaji anaekuja juu kwa sasa Neymar.

 



TOA MAONI YAKO HAPA

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...