facebook likes

Friday, July 12, 2013

IRENE UWOYA AFUNGUKA BAADA YA DIAMOND KUMLIPUA JANA


Kuna saa najiuliza kwanin ukimwamin mtu ndio anageuka...kwanin ukiwa muwaz watu wanakuchukulia vbaya? Leo nimeumia sanaaa kuliko skuzote...sijaamini mtu niliye mwamini kumuona kama rafiki yangu anaweza kuongea shit kuhusu mim...au najiuliza siruhusiwi kuwa na rafik wa kiume? Lakin sa nyingine nakaa chin nasema God ...u know me better” alifunguka Uwoya.
Sababu kubwa iliyodaiwa kumfanya Diamond atembee na Uwoya ni kitendo cha muigizaji huyo kudaiwa kumponda mara kwa mara na alikuwa hampendi Diamond ambaye alikuwa anafikishiwa habari hizo na marafiki zake Irine.



Kama hukufanikiwa kusoma habari hiyo iliyoripotiwa jana basi isome hapa http://www.jovinbachwa.blogspot.com

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...