
thecitizen.co.tz wameripoti kwamba Profesa kasema chuo chake kilikua na malengo ya kuandaa walimu ambao watakua wakifundisha lugha ya kichina kwenye shule za sekondari Tanzania pamoja na taasisi nyingine za elimu.
Info za uhakika ni kwamba mwaka 2006 wageni kutoka nchi mbalimbali duniani wasiozidi laki mbili walikwenda China kujifunza kichina, na wakati huohuo watu wapatao milioni 20 sehemu mbalimbali duniani wameshajifunza lugha ya kichina
No comments:
Post a Comment