facebook likes

Thursday, July 11, 2013

DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!

DIAMOND+uwoya
SIRI nje! Lile skendo la Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kudaiwa kulala na mwigizaji Irene Uwoya ambaye ni mke wa ndoa wa mwanasoka wa Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ limevuja.
KISA KAMILI
Huku akijua kabisa kuwa ataibua zogo kwa kuwa Uwoya ni mke wa ndoa wa mtu, kwa mara ya kwanza, Diamond ameamua kuanika kisa kilichomfanya kujiweka kwa muda kwa Uwoya.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika cha gazeti hili, kilichomfanya Diamond kufikia hatua ya kumtongoza na kutoka naye kimapenzi, ni kitendo cha Uwoya kutoa  maneno ya kumponda huku akionesha waziwazi hali ya kumchukia kila walipokutana.
UWOYA ALIKUWA HAMPENDI DIAMOND
“Unajua Irene (Uwoya) alikuwa hampendi Diamond hata siku moja na mara nyingi alikuwa kila akimuona lazima amponde. Habari hizo zilikuwa zikimfikia mwanamuziki huyo kupitia mashoga wa mwigizaji huyo ambazo ndiyo zilichochea.
“Kufuatia hali hiyo, Diamond naye kila alipofikishiwa taarifa na mashosti wa Uwoya, alikuwa akijisikia vibaya mno ndiyo maana ‘Sukari ya Warembo’ alilazimika kumvizia Uwoya kwa hali na mali ili kumfanya ampende.
CHIKOKA ATAJWA
“Nakumbuka kwa mara ya kwanza Diamond alimtuma (Juma) Chikoka ‘Chopa’ kwa Uwoya ili amfikishie ujumbe wa yeye kumtaka.
“Chikoka hakufikisha taarifa hizo, kitendo ambacho kilimuuma sana lakini siku moja Diamond alikutana na Uwoya akiwa na Chikoka, maeneo ya Sinza-Mori (Dar), akamuomba tena Chikoka namba, akampa, hapo ndipo uhusiano ulipoanzia.
“Siku mbili baadaye Diamond alizungumza vizuri na Uwoya.

GLOBAL NOMA
“Diamond aliomba ahadi ya kukutana na mwigizaji huyo, bila kuchelewa, Uwoya aliiva na kukubali ambapo walikutana kwenye ile hoteli mliyoandika (Global) kule Mbezi Beach (Dar) wakamalizana.
“Unajua Diamond alifanya hivyo kwa sababu ya kupondwa na washikaji zake kuwa anatamba kutembea na mastaa lakini hamuwezi Uwoya.
“Kwa hiyo utagundua chanzo cha yote ni mdomo wa Uwoya kutangaza kutompenda Diamond kwani alikuwa akimsema vibaya sana kwa watu wake wa karibu,” kilidai chanzo chetu.


Baada ya kujazwa habari hizo, mwanahabari wetu alilazimika kumtafuta Diamond ili kuhakikisha kama alichoelezwa kina ukweli ndani yake ambapo bila kinyongo, mkali huyo wa wimbo wa Kesho alifunguka:
“Dah! Japo yalishapita ila ni kweli Uwoya nilikuwaga nikipata taarifa kutoka kwa marafiki zangu kuwa alikuwa ananichukia sana.
“Nilikuwa nikijiuliza sababu za yeye kunichukia lakini nikawa sizipati hata kidogo na hata nilipochunguza niligundua kweli alikuwa hanipendi kabisa.
“Sipendi sana kuzungumzia ishu hiyo ila naweza kukubali kweli kuwa marafiki zake na wangu ndiyo walionichochea sana kukutana na Uwoya na sasa hatuna tatizo na tunaishi kwa amani na upendo ingawa mengi yamepita na yaliyosemwa sina sababu ya kuyashikilia, kikubwa tumuombe Mungu.”

KAMA KAWA UWOYA HAPOKEI SIMU
Ili kupata mzani wa habari hiyo,  blogu hii lilimwendea hewani Uwoya lakini kama kawaida, simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa.

TUJIKUMBUSHE
Miezi kadhaa iliyopita, blogu ndugu la hii, iliripoti habari ya Uwoya na Diamond kunaswa usiku katika moja ya vyumba vya hoteli maarufu kwenye Ufukwe wa Bahari ya Hindi huko Mbezi Beach, Dar ambapo habari hiyo iliibua maneno lakini sasa mwanamuziki huyo amemaliza utata kwani nguzo na sifa kuu ya blogu hii ni kuandika ukweli siku zote.


source: gpl

ON SALE : BRAND NEW IPHONE 4S 16GB WHITE!!!!!!!






 ON SALE : IPHONE 4S 16GB WHITE!!!!!!!

PRICE: TSH 700,000/= (HIGHLY NEGOTIABLE)

CALL TEL:- 0719-374706 OR +255 719 374 706
         - 0712-615869 OR +255 712 615 869

 EMAIL: jovinbachwa@gmail.com
                philmhina@gmail.com 



 TECHNICAL SPECIFICATIONS

Color

White

Capacity1


16GB

Size and Weight2


Height: 4.5 inches (115.2 mm)
Width: 2.31 inches (58.6 mm)
Depth: 0.37 inch (9.3 mm)
Weight: 4.8 ounces (137 grams)

Cellular and Wireless



  • GSM model: UMTS/HSDPA/HSUPA (850, 900, 1900, 2100 MHz);
    GSM/EDGE (850, 900, 1800, 1900 MHz)
  • CDMA model: CDMA EV-DO Rev. A (800, 1900 MHz)
  • 802.11b/g/n Wi-Fi (802.11n 2.4GHz only)
  • Bluetooth 2.1 + EDR wireless technology

Location



  • Assisted GPS
  • Digital compass
  • Wi-Fi
  • Cellular

Display



  • Retina display
  • 3.5-inch (diagonal) widescreen Multi-Touch display
  • 800:1 contrast ratio (typical)
  • 500 cd/m2 max brightness (typical)
  • Fingerprint-resistant oleophobic coating on front and back
  • Support for display of multiple languages and characters simultaneously

Camera, Photos, and Video



  • 5-megapixel iSight camera
  • Video recording, HD (720p) up to 30 frames per second with audio
  • VGA-quality photos and video at up to 30 frames per second with the front camera
  • Tap to focus video or still images
  • LED flash
  • Photo and video geotagging

External Buttons and Connectors


External Buttons and Controls
Connectors and Input/Output

Power and Battery3



  • Built-in rechargeable lithium-ion battery
  • Charging via USB to computer system or power adapter
  • Talk time: Up to 7 hours on 3G, up to 14 hours on 2G (GSM)
  • Standby time: Up to 300 hours
  • Internet use: Up to 6 hours on 3G, up to 10 hours on Wi-Fi
  • Video playback: Up to 10 hours
  • Audio playback: Up to 40 hours

Audio Playback


  • Frequency response: 20Hz to 20,000Hz
  • Audio formats supported: AAC (8 to 320 Kbps), Protected AAC (from iTunes Store), HE-AAC, MP3 (8 to 320 Kbps), MP3 VBR, Audible (formats 2, 3, 4, Audible Enhanced Audio, AAX, and AAX+), Apple Lossless, AIFF, and WAV
  • User-configurable maximum volume limit

TV and Video


  • Video out support at up to 720p with Apple Digital AV Adapter or Apple VGA Adapter; 576p and 480p with Apple Component AV Cable; 576i and 480i with Apple Composite AV Cable (cables sold separately)
  • Video formats supported: H.264 video up to 720p, 30 frames per second, Main Profile Level 3.1 with AAC-LC audio up to 160 Kbps, 48kHz, stereo audio in .m4v, .mp4, and .mov file formats; MPEG-4 video up to 2.5 Mbps, 640 by 480 pixels, 30 frames per second, Simple Profile with AAC-LC audio up to 160 Kbps per channel, 48kHz, stereo audio in .m4v, .mp4, and .mov file formats; Motion JPEG (M-JPEG) up to 35 Mbps, 1280 by 720 pixels, 30 frames per second, audio in ulaw, PCM stereo audio in .avi file format

Headphones



  • Apple Earphones with Remote and Mic
  • Frequency response: 20Hz to 20,000Hz

Rating for Hearing Aids4


iPhone 4 (GSM model)

  • 3G network - 850/1900 MHz: M4, T4
  • 2G network - 850 MHz: M3, T3
  • 2G network - 1900 MHz: M3, T35

iPhone 4 (CDMA model)

  • M4, T4

Mail Attachment Support


Viewable Document Types

.jpg, .tiff, .gif (images); .doc and .docx (Microsoft Word); .htm and .html (web pages); .key (Keynote); .numbers (Numbers); .pages (Pages); .pdf (Preview and Adobe Acrobat); .ppt and .pptx (Microsoft PowerPoint); .txt (text); .rtf (rich text format); .vcf (contact information); .xls and .xlsx (Microsoft Excel)

Sensors


  • Three-axis gyro
  • Accelerometer
  • Proximity sensor
  • Ambient light sensor

System Requirements


  • Apple ID (required for some features)
  • Internet access6
  • Syncing with iTunes on a Mac or PC requires:
    • Mac: OS X v10.6.8 or later
    • PC: Windows 7; Windows Vista; or Windows XP Home or Professional with Service Pack 3 or later
    • iTunes 10.7 or later (free download from www.itunes.com/download)

Environmental Requirements


  • Operating temperature: 32° to 95° F (0° to 35° C)
  • Nonoperating temperature: -4° to 113° F (-20° to 45° C)
  • Relative humidity: 5% to 95% noncondensing
  • Maximum operating altitude: 10,000 feet (3000 m)

Languages


Language Support

English (U.S.), English (UK), Chinese (Simplified), Chinese (Traditional), French, German, Italian, Japanese, Korean, Spanish, Arabic, Catalan, Croatian, Czech, Danish, Dutch, Finnish, Greek, Hebrew, Hungarian, Indonesian, Malay, Norwegian, Polish, Portuguese, Portuguese (Brazil), Romanian, Russian, Slovak, Swedish, Thai, Turkish, Ukrainian, Vietnamese

Keyboard Support

English (U.S.), English (UK), Chinese - Simplified (Handwriting, Pinyin, Wubihua), Chinese - Traditional (Handwriting, Pinyin, Zhuyin, Cangjie, Wubihua), French, French (Canadian), French (Switzerland), German (Germany), German (Switzerland), Italian, Japanese (Romaji, Kana), Korean, Spanish, Arabic, Bulgarian, Catalan, Cherokee, Croatian, Czech, Danish, Dutch, Emoji, Estonian, Finnish, Flemish, Greek, Hawaiian, Hebrew, Hindi, Hungarian, Icelandic, Indonesian, Latvian, Lithuanian, Macedonian, Malay, Norwegian, Polish, Portuguese, Portuguese (Brazil), Romanian, Russian, Serbian (Cyrillic/Latin), Slovak, Swedish, Thai, Tibetan, Turkish, Ukrainian, Vietnamese

Dictionary Support

English (U.S.), English (UK), Chinese (Simplified), Chinese (Traditional), French, French (Canadian), French (Switzerland), German, Italian, Japanese (Romaji, Kana), Korean, Spanish, Arabic, Catalan, Cherokee, Croatian, Czech, Danish, Dutch, Estonian, Finnish, Flemish, Greek, Hawaiian, Hebrew, Hindi, Hungarian, Indonesian, Latvian, Lithuanian, Malay, Norwegian, Polish, Portuguese, Portuguese (Brazil), Romanian, Russian, Slovak, Swedish, Thai, Turkish, Ukrainian, Vietnamese

In the Box



  • iPhone 4
  • Apple Earphones with Remote and Mic
  • Dock Connector to USB Cable
  • USB Power Adapter
  • Documentation

Hunger Strikers in Guantánamo Bay-Disturbing video: Mos Def force-fed under standard Guantánamo Bay procedure

As Ramadan begins, more than 100 hunger-strikers in Guantánamo Bay (US military detention camp and interrogation facility located in Cuba) continue their protest. More than 40 of them are being force-fed. A leaked document sets out the military instructions, or standard operating procedure, for force-feeding detainees. In this four-minute film made by Human Rights organisation Reprieve and Bafta award-winning director Asif Kapadia, US actor and rapper Yasiin Bey (formerly known as Mos Def), experiences the procedure...

See the video after the cut...but warning: some viewers may find it disturbing...

Famous Nigerian Actor Nkem Owoh dresses up as a woman in new movie



Lol. Osuofia! Not a bad looking woman...
If there’s one thing veteran actor Nkem Owoh does perfectly well, it is to constantly entertain.
Osuofia as he is fondly called, was recently spotted on the set of a movie dressed as a female. The funny man is seen wearing a wig, a gold necklace, an Ankara dress and lots of make-up..

source: lindaikeji

Khloe Kardashian kicks Lamar Odom out of their home for cheating?


According to a report by Star magazine, Khloe Kardashian has kicked Lamar Odom out of their home, after finding out about his year-long affair with another woman.

Lamar has reportedly been cheating on Khloe since at least January 2012, Star reveals in an exclusive report. They claim Lamar met gorgeous 29-year-old brunette Jennifer Richardson at the Stadium Club strip club in Washington, D.C., after playing a basketball game.
“Lamar and Jennifer ate dinner in an intimate booth together that night, then he took off her shoes and started rubbing her feet,” a friend of Jennifer’s tells the mag. “The chemistry between them was off the charts!”
Lamar soon left, but the night didn’t end there. Lamar allegedly called Jennifer at 3 am and invited her back to his hotel room. Continue...



“As soon as she got there, he took her phone apart and put the pieces in different spots all around the room,” her friend reveals. “He actually took the battery out and the back off. She thought he was afraid that she would take photos or record him.”

With that out of the way, Lamar started “grabbing her butt and kissing her sweetly on the neck,” the friend says. “She said he was an amazing kisser.”
Although the two did not have intercourse, “they did everything else,” says the source,. “It was incredibly intimate.”


And it wasn’t just physical. “They talked all through the night and he really opened up to her,” the source reveals. For Jennifer, it was “very emotional and much more than a random thing. She was instantly smitten with Lamar.”

It seems the feeing was mutual. Lamar gifted Jennifer with $3,000 before saying goodbye - and promising to see her again soon, according to the mag.

With Lamar’s busy work schedule - and a change of teams to the Los Angeles Clippers — it was 11 months before they would reconnect, almost by fate.

When the Clippers were in North Carolina for a game, Lamar ran into Jennifer in the lobby of the Charlotte Ritz-Carlton.


“As soon as Lamar saw her, he ran up to her and gave her a big hug,” the friend says. “He said, ‘I’ve been looking for you. Are we good?’”

Apparently the answer was yes, because the two had sex that night, the report claims. Says the friend, “Lamar couldn’t get enough. He was insatiable!’

That night was the beginning of an intense affair that would last several months, the mag says. Lamar invited Jennifer to travel with him to Milwaukee and Detroit for his next games, and also to a Dec. 23 game in Arizona, where the couple had a time to remember.

“Lamar had told Jennifer that he really wanted to have a threesome,” the source claims. “She wanted to make him happy, so she asked a pretty friend to join them in bed. Lamar stayed an extra night in Phoenix, and the three of them hooked up on the morning of Christmas Eve!”

Just a few hours later, he played happy husband with Khloe at the Kardashian family’s Christmas Eve party. But even there, Jennifer was not far from his mind. Says the source, “At the party, Lamar snuck off to a private room, called Jennifer and had phone sex with her!”

In January, all of the drama grew to be too much, sources told Star, and Khloe kicked Lamar out of the house.

Almost immediately, he flew Jennifer into town and stayed with her for a week and a half at the Luxe Hotel in L.A. Jennifer “said Lamar seemed so sad and detached then …” according to the friend. “It seemed obvious to her he was unhappy with his wife.”

But it wasn’t just Khloe who was bothering Lamar: He also told Jennifer that he had issues with her family. “Whenever he would leave to go to Khloe, he would say ‘I have to go be a Kardashian now.’”

Despite their problems, Khloe soon took Lamar back, but his affair was far from over, and Jennifer accompanied him frequently on the road.

“They would meet up at a nightclub and go back to the room a few minutes apart, using separate keys,” the source says. “She would also use a separate driver. But everyone knew they were together.” Lamar even went so far, the friend claims, as to kiss her in front of his friends.”

As Lamar headed into the playoffs and filming for the next season of Keeping Up With the Kardashians, however, the couple drifted apart.

But when the Clippers were eliminated from the playoffs on May 3, he reportedly went running back to Jennifer. “She was angry, since he’d been missing for a couple months,” her friend explains. ” … It was over.”

The same could be said for Khloe and Lamar’s marriage, the magazine claims. Sources told Star that Lamar moved out of Khloe’s home around June 8, and still isn’t back.

Khloe’s rep denies the affair ever happened, however, and Lamar’s rep did not respond to Star‘s attempts to contact him.

A source tells Star, “Khloe is freaking out, begging him to come back.” But it may be too late.

Denzel Washington caught cheating on his wife of 30 years?


Well, that's if you believe Radar Online. Below is how they are reporting it...
Flight star Denzel Washington has been married for 30 years, but despite a seemingly idillic relationship with his wife, he is now caught up in a cheating scandal as photographs of Denzel apparently with and kissing another woman are being shopped, RadarOnline.com has learned exclusively.
Denzel, 58, and his wife Pauletta, 62, recently did an interview with Ebony magazine giving what what called a “rare portrait” into “one of Hollywood’s longest running couples.”
But several photos that have been shopped to various media outlets appear to show Denzel with another woman and kissing her on the lips, in what appears to be a passionate moment.
Those photos are a stark contrast to what his wife Pauletta recently told Ebony.
“I live with this man. I see the down part. I see the sad part. I see every part,” Pauletta told the magazine.
“He has and knows he has stability in me as his wife. That’s what gives him strength, regardless if he misuses it. I can’t dwell on that. But I do know that gives him a great platform to go and fly.”
Four photographs, seen by Radar and shopped to other media outlets, show him sitting on a couch with a young lady, and then throughout the series of pictures he grabs her arm and pulls her in for a kiss on the lips in one. The woman is not identified and Radar was not able to verify the authenticity of the photographs.
Well, they can shop all they want. Pauletta has made it clear she's never going to leave Denzel.

Milionea akodi ‘private jet’ kwa shilingi milioni 162 kumsafirisha paka wake kutoka Urusi hadi Marekani

Paka mwenye jina Marsik wa Urusi amesafirishwa na ndege binafsi ya Paramount Business Jets (PBJ), kutoka Urusi hadi Marekani kwa gharama ya dola laki moja ambazo ni sawa na shilingi milioni 162 za Tanzania.
Akisafiri kutoka Urusi hadi Marekani, Marsik anadaiwa kupata huduma ya nguvu kabla hajapanda na ndani ya ndege hiyo.
Vyeti vyake vya afya vinavyoonesha chanjo alizopata alivipata saa 24 kabla ya safari kuanza.
Tajiri huyo anadai kutumia kiasi chote hicho ili kuhakikisha kuwa paka wake anafika Marekani salama na kuepuka kunyanyasika ama kifo kwakuwa baadhi ya wanyama wanaosafiri kwa ndege za kawaida huwekwa kwenye sehemu ya mizigo hupoteza maisha.
Source: prweb.com

BABA YAKE JOYCE KIRIA AMEFARIKI DUNIA, MUNGU AMPUMZISHE MAHALI PEMA PEPONI


 
BABA MZAZI WA JOYCE KIRIA .. Michael Francis Iwambo Kiria wa kibosho dakau nganyeni amefariki huko mkoani Tanga ambako alikuwa akiishi. Kesho ni safari ya kuelekea moshi kwa ajili ya taratibu za mazishi.

BETTY(ETHIOPIA) ANAWEZA KWENDA JELA MIAKA 6 KWA KUFANYA NGONO NDANI YA JUMBA LA BBA THE CHASE


:
clip_image002
It would seem that being kicked out of the Big Brother house and having to say goodbye to the man she fell in love with was only just the beginning of Betty Abera’s problems. According to online sources and local Ethiopian radio station Ethiopikalink, Betty could be facing six years in jail if the lawsuit being filed against her is successful.During her short stint in BBA The Chase, Betty from Ethiopia and Bolt from Sierra Leone were the first couple to engage in sex in this season’s big brother show. There was massive backlash from the audience and more so the conservative Ethiopians who now saw her as a disgrace to the country. Now back in her home country, Betty could be hit with a lawsuit for having sex in public which is against the laws of Ethiopia.But we got to wonder, do the bright minds behind the lawsuit really have a case? Do the laws of Ethiopia extend all the way to South Africa? And with BBA openly allowing sex in the house, does Ethiopia consider that before allowing their contestants to take part in such a ‘heathen’ show? These are only few of views comment about this article.clip_image003
 Source:STANDARDMEDIA

HUU NDO USHAHIDI IKIONYESHA KUWA ODAMA WA BONGO MOVIE HUTOA PICHA ZA UONGO KUA YUPO NJE YA NCHI. TAZAMA PICHA HIZI UJIONEE MWENYEWE





EDITOR WA PICHA HII ALISAHAU KUKATA VIZURI NA KUONDOA BACKGROUND NYEUPE KWENYE ENEO LA NYWELE LILILOZUNGUSHIWA DUARA


Kuna habari tumeletewa na msomaji wa tovuti yetu ya bongo movies kumhusu mwanadada wetu muigizaji wa Filamu aliyepata tuzo hivi karibuni, Jennifer Kyaka al-maarufu kama Odama kuhusu safari zake za kwenda nje ya nchi.

Habari au tuhuma hizi tuziite, zinasema kuwa mwanadada huyo huwa haendi nje ya nchi kama anavyowaambia fans wake kupitia blog yake ya odama1.blogspot.com kuwa anasafiri kwenda nje kikazi zaidi, na badala yake inasememekana eti huwa anabaki hapa hapa nchini akizuga yupo nje ya nchi lengo ni kutafuta “KIKI” ama umaarufu kama watoto wa mjini wanavyosema.

Mdau aliyetutumia habari hizi amesema kuwa ana ushahidi wa kutosha na katutumia picha mbalimbali toka kwenye mtandao mmoja wa kijamii ambako staa huyo yupo zikimuonesha akiwa maeneo mbalimbali ya “duniani huko” ambayo kwa kuangalia picha hizo anasema kuwa ni feki na zimetengenezwa kwa kutumia teknolojia tuu ya ku-“edit” picha maarufu kama “PHOTOSHOP”

Swali ni je, hili suala ni la kweli? Tunaomba wadau wenye majibu na utaalamu wa picha watusaidie kwa kutazama picha hizi na kutuambia kama habari hii ina ukweli wowote.


CHANZO : BONGOMOVIES.COM






ANGALIA UBORA WA PICHA YA ODAMA NI TOFAUTI KABISA NA UBORA WA PICHA YA BACKGROUND ILIYO NA MAGOROFA. PIA ANGALIA HILO BOMBA LILITAKIWA LIONEKANE VIZURI KWA SABABU LIPO KARIBU NA CAMERA LAKINI HAIKUA HIVYO. KOSA LA PILI LA EDITOR









KATIKA PICHA HII EDITOR KAKOSEA KULETA UHALISIA HAPO ODAMA KAWA MREFU SANA





COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...