Jovin Bachwa's Blog

News, Events, Entertainment, Sports, Lifestyle, Fashion,politics, Beauty, Inspiration and yes... Gossip!

Pages

▼

Thursday, June 27, 2013

Nitoke vipi: Kituko jamaa ajibadirisha na kuwa na sura ya mbwa.

Mbrazili mmoja aliyekuwa na tamaa ya kuvunja rekodi kwa kujibadiri sura ili awe na sura ya mbwa, pamoja na nia yake hiyo alidiriki kulipa mapesa mengi ili kufanyiwa upasuaji iki kutimiza azma yake hiyo. Na nia kubwa kwake ni kuwa binadamu wa kwanza mtu+ mbwa duniani( Dogman).

Mtu mwenye sura nzuri ambayo haina shida yeyote ametamani kuwa mbwa!. Lakini haishangazi sana kwa dunia hii yenye kila vituko na vioja. Hebu angalia mchakato mzima wa upasuaji wake na vioja vyake.












Jb at Thursday, June 27, 2013
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

JOVIN BACHWA

Jb
View my complete profile
Powered by Blogger.