News, Events, Entertainment, Sports, Lifestyle, Fashion,politics, Beauty, Inspiration and yes... Gossip!
Pages
▼
Sunday, September 22, 2013
JK ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU YA CHUO KIKUU CHA GUELPH JIMBONI ONTARIO, CANADA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Siku ya Ijumaa, Septemba 20, 2013, alitunukiwa Shahada ya Uzamivu (PHD) na Chuo Kikuu cha Guelph cha Canada kwa kutambua mchango na uongozi wake katika kuleta mageuzi ya kilimo katika Afrika.

SOMA ZAIDI....
HIZI NDO PICHA ZA MTUHUMIWA AJISAIDIA HAJA KUBWA MAHAKAMANI WAKATI AKISOMEWA HUKUMU JIJINI DAR...!!
HIVI NDIVYO VYAMA VYA UPINZANI VILIVYONGURUMA JANA..MSWADA WA KATIBA WAPINGWA VIKALI
WACHUNGAJI WA DINI SASA KUCHUNGUZWA...MAOVU, UTAPELI KWA VIVULI VYA DINI VYATAWALA!!!....HABARI KAMILI HAPA!!!!
SERIKALI imesema itaanza kuchunguza madhehebu ya dini kutokana na migogoro na malalamiko ya waamini dhidi ya viongozi wao kuongezeka.
SOMA ZAIDI....
MMH..LAANA HIII!!!! VIJANA WAWILI WAKAMATWA NA KICHWA CHA MTOTO...TAZAMA PICHA HAPA
LIVERPOOL ILIPOFUNGWA NA SOUTHAMPTON 1-0 KWENYE LIGI KUU UINGEREZA:

SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI.....